i. Barua ya maombi ya mafunzo;
ii. Nakala ya Cheti cha kuzaliwa;
iii. Nakala ya Cheti cha elimu uliyohitimu;
iv. Kitambulisho cha uraia/kadi ya mpiga kura (Kwa wenye miaka 18 na kuendelea);
v. Barua ya utambulisho kutoka Ofisi ya Serikali ya Mtaa/Kijiji anakoishi mwombaji; na
vi. Picha nne za paspoti (ziandikwe majina matatu ya mwombaji kwa nyuma).
Sifa za kujiunga na mafunzo haya ni:
i. Elimu ya msingi au zaidi kwa fani za ubunifu wa mitindo na ushonaji nguo, ufundi bomba, ujenzi, useremala, uchomeleaji na uungaji vyuma, upakaji rangi na maandishi ya alama;
ii. Elimu ya kidato cha nne na kuendelea kwa fani nyingine zilizobaki zikijumuisha fani ya utengenezaji wa vipuri vya mitambo, ufundi magari, umeme wa majumbani na viwandani, umeme wa magari na umeme wa jua (solar);
iii. Awe Mtanzania; iv. Awe na umri kati ya miaka 15 – 35; na v. Awe mwenye afya njema.
iii.Vijana Wenye Ulemavu wanasisitizwa kuomba fursa hizi na watapewa kipaumbele katika nafasi za mafunzo haya;
iv.Maombi yachukuliwe na kuwasilishwa kwenye vyuo vilivyo katika mkoa wako ambavyo vimekubaliwa na Serikali kutoa mafunzo haya.
v.Watakaokidhi vigezo na sifa tu ndio watakaochaguliwa..
vi.Tangazo hili linapatikana katika Tovuti ya Ofisi (www.kazi.go.tz)
NB: Fomu za maombi zinapatikana katika vyuo vyote vilivyopitishwa na Serikali kutoa mafunzo haya.
BONYEZA HAPA KUPATA ORODHA YA VYUO VILIVYOKUBALIWA NA SERIKALI KUTOA MAFUNZO
DC Jokate Mwegelo Azindua Rasmi Tuzo Za Wajasiriamali Wa Twcc Jijini Dar
Read MoreTaarifa Kwa Mawakala Na Waagizaji Wa Bidhaa Za Chakula Na Vipodozi Nje Ya Nchi
Read MoreWaziri Bashe Atangaza Sikukuu Ya Wakulima Nane Nane Kufanyika Mwaka Huu Wa 2022
Read More