Chama cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC) imeandaa kongamano maalum kwa wanawake na vijana lenye lengo la kuwaandaa kwa fursa za uwekezaji na masoko mwaka 2025. Kongamano hili litafanyika tarehe 5 Februari 2025, katika Hyatt Regency Hotel, Dar es Salaam, kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 10:00 jioni.
Kauli mbiu ya kongamano: “2025: Mwaka Mpya, Mwaka Wako.”
Kongamano hili limepangwa kuwapa wanawake na vijana maarifa na mbinu bora za kujiimarisha kibiashara, kutumia masoko mtandao, na kuchangamkia fursa za soko huru la Afrika (AfCFTA).
Agenda Kuu za Kongamano:
Gharama na Malipo:
Gharama ya ushiriki ni TZS 30,000. Malipo yanaweza kufanywa kupitia:
Washiriki wanahimizwa kuthibitisha ushiriki wao kabla ya tarehe 3 Februari 2025.
Walengwa:
Wanawake na vijana wanaopenda kuchangamkia fursa za biashara na uwekezaji. Nafasi ni chache, hivyo wahi mapema!
Kwa maelezo zaidi:
Piga simu kwa: 0757823982.
Kongamano hili ni fursa adhimu ya kupanua mtazamo wa kibiashara na kujiimarisha kwa mwaka mpya. Usikose!
RAIS MWINYI AWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TWCC
Read MoreTWCC WOMEN IN BUSINESS BREAKFAST MEETING 10 SEPTEMBA 2022
Read MoreZIARA YA WANAWAKE NCHINI UTURUKI KUANZIA TAREHE 11-19 OKTOBA, 2022
Read More