Tanzania Women Chamber of Commerce

ZIARA YA WANAWAKE NCHINI UTURUKI KUANZIA TAREHE 11-19 OKTOBA, 2022

Kwa mara nyingine tena Chama cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC) kimeandaa ziara ya wanawake nchini, Turkey katika mji ya Istanbul.

*Tarehe: 11 Oktoba hadi  19 Oktoba 2022*

Ziara hii itahusisha;

  1. Kutembelea viwanda ndani ya Mji wa Istanbul
  2. Kutembelea masoko ya vifaa mbalimbal
  3. Kutembelea Maonyesho mbalimbali yakiwemo:-

- Maonesho ya Teknolojia ya uzalishaji vyakula na bidhaa (15th International Food and Beverage Technologies  Fair from 12-15 October 2022, yatakayofanyika Tuyap Fair Centre  mji wa Istanbul .

- Maonesho ya Vifungashio(International Packaging Industry Fair) 12 to 15 October 2022) yatakayofanyika ,Tuyap Fair Center katika mji wa Istanbul.

- Maonesho ya Bidhaa na Vifaa vya Urembo (Cosmetics and Beauty  Exhibition from 13 to 15 October  2022) yatakayofanyika katika mji wa Istanbul.

  1. Kushiriki vikao na wanunuzi mbalimbali (B2B) ili kuongeza masoko.
  2. Utalii ndani ya mji wa Istanbul.
  3. Business Dinner.

*Gharama:*

*Dola - 2100$*

Ghara zitahusisha;

1) Malazi 

2) Usafiri wa ndege (Return ticket ) 

3) Visa 

4) Bima 

6) Usafiri wa ndani ya Uturuki 

Mwisho wa kuthibitisha kushiriki ni tarehe 20 Septemba, 2022

Thibitisha ushiriki kwa kulipia safari kupitia:

Akaunti ya dola

CRDB BANK: 0250029021100

Jina: Tanzania Women Chamber of Commerce

: 0757823982/0684112311/0677070408

: info@twcc-tz.org

Wote mnakaribishwa

Related Articles

Tanzania Women Chamber of Commerce | 12-07-2022

RAIS MWINYI AWAPONGEZA WAJASIRIAMALI WA TWCC

Read More
Tanzania Women Chamber of Commerce | 11-09-2022

TWCC WOMEN IN BUSINESS BREAKFAST MEETING 10 SEPTEMBA 2022

Read More
Tanzania Women Chamber of Commerce | 14-11-2022

GOVERNMENT ASSURES WOMEN ENTREPRENEURS WITH MORE SUPPORT

Read More