Chama cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania(TWCC) inawakaribisha wanawake na vijana wajasiriamali pamoja na wadau mbalimbali kushiriki katika Women and Youth Financial Inclusion Summit tarehe 11 Desemba 2024 š , katika JNICC, Dar es Salaam.
Huu ni mkutano wa kipekee utakaowawezesha washiriki kupata maarifa, fursa za mitaji, na ushirikiano mpya kwa ajili ya kukuza biashara na kufanikisha ujumuishaji wa kifedha kwa wanawake na vijana.
š Kauli mbiu: Upatikanaji wa Huduma Nafuu za Kifedha kwa Wote
Faida za Kushiriki:
ā
Kupata taarifa za kina kuhusu huduma za kifedha zinazolenga wanawake na vijana
ā
Kushuhudia uzinduzi wa Mwongozo wa upatikanaji wa rasilimali fedha kwa wanawake na vijana
ā
Kujifunza kuhusu fursa za mitaji wezeshi zilizopo
ā
Kuunganishwa na wadau muhimu kutoka sekta za kifedha, biashara, na uwekezaji
ā
Kupata nafasi ya kutoa maoni kuhusu jinsi ya kuboresha huduma za kifedha za kidigitali
ā
Networking na washiriki zaidi ya 1,000 kutoka sekta mbalimbali
ā
Kupokea nakala ya Mwongozo wa huduma za kifedha kwa wajasiriamali
š Usikose nafasi hii ya kipekee! Jisajili sasa bure kupitia kiunganishi hiki:
https://forms.gle/i1JY99j4My2DinGW6
š Mahali: Julius Nyerere International Convention Centre
ā° Muda: Saa 2 asubuhi - 11 jioni
š Kwa mawasiliano zaidi: 0757 823 982
NB: Chakula na vinywaji vitapatikana!
Jiunge nasi kwenye safari ya kujenga msingi imara wa mafanikio ya kifedha na kibiashara. Usikose, nafasi ni yako! š
#TWCC #FinancialInclusion #EmpoweringWomen #YouthEntrepreneurship #Wajasiriamali #KongamanoKubwa
DC Jokate Mwegelo Azindua Rasmi Tuzo Za Wajasiriamali Wa Twcc Jijini Dar
Read MoreTaarifa Kwa Mawakala Na Waagizaji Wa Bidhaa Za Chakula Na Vipodozi Nje Ya Nchi
Read MoreWaziri Bashe Atangaza Sikukuu Ya Wakulima Nane Nane Kufanyika Mwaka Huu Wa 2022
Read More