Mradi wa Vijana Kilimo Biashara (VKB) unasimamiwa na kutekelezwa na shirika la RIKOLTO Afrika Mashariki kwa kushirikiana na AgriHub Tanzania pamoja na wadau wengine kupitia ufadhili wa Shirika la Chakula Duniani (WFP) na MasterCard Foundation unalenga kuwahamasisha vijana wenye biashara na ubunifu katika sekta ya kilimo kutoka mikoa ya Dodoma na Singida.
Lengo kuu ni kuendeleza usalama wa chakula na mifumo endelevu ya kilimo kwa kuongeza thamani kwenye mazao ya mtama, alizeti, mbogamboga, na matunda. Mradi unalenga vijana wenye biashara au ubunifu unaosaidia kuongeza uzalishaji, kupunguza upotevu wa mazao, na kuimarisha masoko kwa mazao husika.
Malengo ya Mradi wa VKB
Mtiririko wa Mradi
Sifa za Kushiriki
DC Jokate Mwegelo Azindua Rasmi Tuzo Za Wajasiriamali Wa Twcc Jijini Dar
Read MoreTaarifa Kwa Mawakala Na Waagizaji Wa Bidhaa Za Chakula Na Vipodozi Nje Ya Nchi
Read MoreWaziri Bashe Atangaza Sikukuu Ya Wakulima Nane Nane Kufanyika Mwaka Huu Wa 2022
Read More